Thursday, August 30, 2012

KWA MARA YA KWANZA KABISA NDANI YA MAREKANI..DIAMOND LIVE IN WASHINGTON DC JUMAMOSI HII TAREHE 1 SEPT!

“Kwa mara ya kwanza nitasafiri nje ya nchi na madensa wangu wanne na msemaji mmoja. Sasa hivi hawataki kutembea na kupanda magari wasije wakakosa hiyo safari,” alisema Diamond na kuongeza kuwa baada ya kuumwa, mawazo aliyaweka kwenye mchongo huo hivyo mambo mengine yataendelea ikiwa ni pamoja na kufanya kolabo na mwanamuziki wa kimataifa wa Nigeria, J. Martins

No comments:

Post a Comment