Wednesday, August 29, 2012

HEKALU JIPYA LA MCHUNGAJI DK. GETRUDE RWAKATARE KUFUNGULIWA RASMI

 
 Mama Getrude Rwakatre siku ya Jumapili alikuwa anahamia rasmi katika nyumba yake mpya iliyoko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam pembezoni mwa bahari ya Hindi. Waumini wa kanisa hilo wapatao takribani 300 walifika mahali hapo kwa kushuhudia nyumba ya kifahali.

Muonekano wa mbele 
 Mc Harris Kapiga akiwa kazini.
 Mchungaji Getrude Rwakatare akwakaribisha wageni nyumbani kwake.
 MC na mchungaji Haris Kapiga wa Clouds FM

 
 
 
 Kitanda chake cha kulala
 wakati wa misosi kwa wageni

Miduara ikichezwa

 

No comments:

Post a Comment