Friday, June 29, 2012

QUOTES OF TODAY


“Personal Style comes from within. It’s when the woman, her individuality and spirit come through. She uses clothes to express who she is and how she feels”

“Style is personality. It’s having the ability to look at things beyond fashion and the self-confidence to transform even the simplest thing into something special. It’s a natural quality you cannot learn and there are no rules to follow

D&G

RAY AZINDUA FILAMU YA SOBING SOUND KWA KUTOA MSAADA AKISHIRIKIANA NA STEPS

MSANII wa filamu nchini Vicent Kigos 'Ray' amezindua filam yake mpya inayojulikana kama 'SOBING SOUND'.

Filam hiyo ameizindua kwa staili tofauti ambapo badala ya kuzindua Ukumbini kama ilivyozoeleka na wengi, msanii huyo amezindua filam hiyo katika kituo cha watoto yatima cha Maunga Centre kwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali vyenye thamani ya sh. milioni 1.5 kwa niaba ya Kampuni ya Steps Entertainment ya jijini Dar es salaam

Akizungumza mara baada ya kuzindua filamu hiyo akiwa pamoja na watoto yatima wa kituo hicho, Ray alisema ameamua kufanya hivyo kutokana na ukweli kwamba watu wengi wamekuwa wakifurahia maisha huku wengine wakiendelea kutaabika kitendo ambacho si kizuri.

Alisema ujio wa filamu hiyo ni kama azma yake aliyoipanga tangu awali kuhakikisha filamu zake zote zinafanya vizuri na atakuwa kila filamu anayotoa atahakikisha japo kidogo kwa namna yoyote anawakumbuka watoto yatima.

Alisema msaada uliotolewa kwa watoto yatima hautaishia kwao bali ataendelea kutoa kile atakachokipata kupitia filamu hiyo kuwasaidia na wale wasiojiweza amesema kampuni ya Steps Entertaiment imekuwa msaada mkubwa kwa wasanii kutambulika na kushawishi wawe wanawakumbuka watoto wanaoishi katika mazingira magumu.

Msanii wa filamu nchini Vicent Kigosi 'Ray' akikadhi sehemu ya msaada uliotolewa na Kampuni ya Steps Entertainment ya jijini Dar es salaam leo kwa Mlezi wa kituo cha Maunga Centre Zainabu Bakari vyakula mbalimbali kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Steps, Ignatus Kambarage

 Msanii wa filamu nchini Vicent Kigosi 'Ray' akikadhi sehemu ya msaada uliotolewa na Kampuni ya Steps Entertainment ya jijini Dar es salaam leo kwa Mlezi wa kituo cha Maunga Centre, Kinondoni, Dar es Salaam, Zainabu Bakari vyakula mbalimbali vya Tsh milioni 1.5 katika kituo hicho. kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Steps, Ignatus Kambarage


Msanii wa Filamu Nchini Visent Kigosi 'Ray' katikati na Meneja Masoko wa Kampuni ya Steps.Ignatus Kambarage wakiwa katika picha ya pamoja baada ya lei kugawa vyakula mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Maunga Centre .

Wednesday, June 27, 2012

DKT ULIMBOKA KUFIKISWA MUHIMBILI

 Madaktari wakisubiri gari la wagonjwa lililombeba mpiganaji wa haki za madaktari Dk. Ulimboka wakati akitolewa chumba cha X -ray akipelekwa taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) baada kuokotwa maeneo ya bunju akiwa na majeraha makubwa baada ya kupigwa na watu wasio julikana 



KRISTEN STEWART COVERS ELLE UK JUNE

Lady in white– Actress Kristen Stewart covers the June issue of Ellee UK wearing an all white ensemble from Jil Sander's spring collection
 
 Working Girl – Elle Uk's June cover star Kristen Stewart shows her ultra feminine side in a wardrobe of sleek selects styled by Anne - Marie Curtis. Photographed by David Sliiper

The Twilights Star Kristen




POLISI MORO YAACHA 17, TZ PRISONS 11

Klabu tano za Ligi Kuu ya Tanzania zimewasilisha Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) majina ya wachezaji ambao zimewakatishia mikataba/mikataba yao kumalizika au kuwaacha kwa ajili ya usajili wa wachezaji msimu wa 2012/2013.

Kwa mujibu wa klabu hizo, Polisi Morogoro iliyopanda msimu huu imeacha wachezaji 17 wakati Tanzania Prisons ambayo pia imepata hadhi ya Ligi Msimu huu imeacha wachezaji 11. Azam imekatisha mikataba ya wachezaji watatu.

 
Wachezaji 12 wamemaliza mikataba yao katika klabu ya Kagera Sugar wakati wakati kwa upande wa Simba wachezaji waliomaliza mikataba ni wanne huku ikionesha nia ya kuwatoa kwa mkopo wengine wanne.

 
Uhamisho wa wachezaji kwa msimu huu ulianza Juni 15 mwaka huu na utamalizika Julai 30 mwaka huu wakati kipindi cha kuanza wachezaji (kwa wasio wa Ligi Kuu) ni kati ya Juni 15 na 30 mwaka huu.

 
Kwa klabu za Ligi Kuu kutangaza wachezaji watakaositishiwa mikataba yao ni kuanzia Juni 15-30 mwaka huu na usajili wa wachezaji unafanyika kuanzia Juni 15 hadi Agosti 10 mwaka huu.

 
Wachezaji walioachwa Polisi Morogoro ni Abdul Ibadi, Ally Moshi, Benedict Kitangita, Hassan Kodo, Hussein Lutaweangu, Hussein Sheikh, Juma Maboga, Mafwimbo Lutty, Makungu Slim, Mbaraka Masenga, Method Andrew, Moses Mtitu, Ramadhan Kilumbanga, Ramadhan Toyoyo, Said Kawambwa, Salum Juma na Thobias John.

 
Tanzania Prisons imewaacha Adam Mtumwa, Dickson Oswald, Exavery Mapunda, Ismail Selemani, Lwitiko Joseph, Mbega Daffa, Mwamba Mkumbwa, Musa Kidodo, Rajab Ally, Richard Mwakalinga na Sweetbert Ajiro.

Wachezaji waliomaliza mikataba yao kwa mujibu wa Kagera Sugar ni Cassian Ponera, Hamis Msafiri, Hussein Swedi, Ibrahim Mamba, Martin Muganyizi, Mike Katende, Moses Musome, Msafiri Davo, Said Ahmed, Said Dilunga, Steven Mazanda na Yona Ndabila.

 
Azam imewasitishia mikataba wachezaji Tumba Swedi, Mau Bofu na Sino Augustino. Wachezaji waliomaliza mikataba Simba kwa mujibu wa klabu hiyo ni Ally Mustafa, Derick Walulya, Gervais Kago, Juma Jabu wakati Salum Kanoni mkataba wake unatarajia kumalizika Juni 30 mwaka huu.

 
Wachezaji ambao Simba inakusudia kuwatoa kwa mkopo ni Rajab Isihaka, Salum Machaku, Haruna Shamte na Shija Mkina.

 
DODOMA YAITAMBIA MBEYA COPA COCA-COLA 2012
Dodoma imeendeleza wimbi la ushindi kwenye michuano ya Copa Coca-Cola 2012 baada ya leo asubuhi (Juni 27 mwaka huu) kuifunga Mbeya mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Tamco ulioko Kibaha mkoani Pwani.

Mabao ya Dodoma katika mechi hiyo ya kundi C yalifungwa na Japhet Lunyungu dakika ya 59 wakati Frank Kaji aliwahakikishia ushindi washindi dakika saba kabla ya filimbi ya mwisho baada ya kupachika bao la pili.

 
Nayo Mjini Magharibi iliifunga Iringa mabao 3-0 katika mechi ya kundi B iliyochezwa leo asubuhi kwenye Uwanja wa Nyumbu mkoani Pwani.


Mechi za asubuhi zilizokuwa zichezwe leo kati ya Arusha na Kusini Pemba kwenye Uwanja wa Tanganyika Packers na Pwani na Tabora kwenye Uwanja wa Karume sasa zitachezwa kuanzia saa 8 mchana kutokana na kutokuwepo mawasiliano ya barabara asubuhi (Morogoro Road) kutoka mkoani Pwani kuingia Dar es Salaam.

 
Leo jioni kutakuwa na mechi kati ya Rukwa na Ruvuma (Tanganyika Packers), Mwanza na Tanga (Nyumbu), Kaskazini Unguja na Mara (Tamco) na Singida na Kagera (Karume).

QUOTE OF THE DAY

That is so true

Tuesday, June 26, 2012

JARNICE BIRTHDAY PARTY

 Birthday Cake

jarnice n jordan
Ishy n Jay


Mda unaopendwa na wengi jay akikata cake

Kula mama
Aisha Cake nzuri ulijitahidi

nawewe dia

Aisha Akilishwa
  Singa akipata Cake


 George N Isha
 Alipakwaje Ice




george n ishy wakiyarudi it was fun

Kula nyama mama

Monday, June 25, 2012

HAPPY BIRTHDAY TO MY BFF JARNICE

Wish you a many many happy returns of the day. May God bless you with health, wealth and prosperity in your life
HAPPY BIRTHDAY TO YOU LUV.

Sunday, June 24, 2012

KIM KARDASHIAN DANCE WITH BEYONCE AT KANYE WEST AND JAY -Z'S CONCERT!


Kim Kardashian and Beyonce Knowles are becoming fast friends!
At the Watch the Throne concert in Birmingham, England June 22, the E! reality star, 31, and the 16-time Grammy Award winner, 30, stood side-by-side as their respective loves Kanye West, 35, and Jay-Z, 42, performed on stage.


"Kim and Beyonce were dancing all night! They even went into the mosh pit!" a source tells "It was the most hectic thing ever!"

Kardashian (in a demure black top) and Knowles (in a white tee and leather leggings) did their best to keep a low-profile amidst the sea of fans.


The outing marked the first time the two stars have been photographed in public together. Despite rumors to the contrary, "Kim and Beyonce have always been cool," the source explains. "Beyonce and Jay love Kim and think she's a good match for Kanye."

Kardashian certainly seems so. In a pre-taped interview for Oprah's Next Chapter airing Sunday, she explains how she fell for West after years of friendship. "It's very comforting to have someone who knows everything about you, who respects you, understands you, has gone through similar things," she says. "I feel like I'm at a really happy, good space."

HAPPY BIRTHDAY TO MY GIRL FAUZIA

 I wish you a wonderful Birthday!! I hope you have an amazing day and lots of fun! Enjoy this day, you deserve it!

RAIS KIKWETE AMPOKEA RAIS WA JAMHURI YA KIARABU YA SAHRAWI MHE MOHAMED ABDELAZIZ LEO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Sahrawi baada ya kumpokea jioni hii June 24
katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.

HOW TO DO CLOTHING COLOR COORDINATION





Fashion is like art, you should know how to combine colors and make them look appealing to your audience. Knowing the right colors to complement your skin, your style, and the event will certainly add an “oomph” to your personality. You definitely do not want to look disoriented, do you? Matching yellow hues with baby blue and light pink shades would make you look like an oversized marshmallow  a total fashion blunder. But with these fashion tips, you'll be sure to pull off great color combinations.

















The basic knowledge about mixing and matching colors for apparels is that black, white, and gray go with everything. They are what we call neutral. If you like to experiment with psychedelic prints, try out this combination first. It is safe since mixing the three would just give you the classic look. But like I have said, they go with any color, so you can pair white or black with yellow, red, blue, brown, or purple. For gray colors, you can pair them with blue, pink, or beige. The list is actually endless. However, it also depends on the package that you want. If you prefer something light to the eyes, pick pastel colors (i.e., white + pink/beige/yellow).




The right color mix: red and pink with a baby yellow accent.

Before seeing the rare combination of red, pink and yellow together, I would’ve never considered wearing the combo but Lookbook.nu girl shows us what it looks like when it’s done well. Pair the look with gold, brass or brown leather accents and you won’t fail to impress!