Friday, September 7, 2012

MTV Video Music Awards September 6, 2012 in Los Angeles, California.


Rihanna
 Dressed in a sleek white J. Mendel pantsuit and dramatic red lips.
 Amber Rose

Rapper/singer Nicki Minaj arrives at the 2012 MTV Video Music Awards at Staples Center on September 6, 2012 in Los Angeles, California.

Singer Katy Perry arrives at the 2012 MTV Video Music Awards at Staples Center on September 6, 2012 in Los Angeles, California

 The Perks of Being a Wallflower star took a risk in a colorful Peter Pilotto number -- and it paid off; she looked fresh and cool
 Jessica Szhor
 Channeling Pink's hair and a little bit of '80s punk, Cyrus matched her new bleached-blonde 'do with a black Emilio Pucci gown and spiked earrings.     
 Pink
 Rihanna Says, “I Got This” Without Saying It
Taylor Swift 
Demi Lovato At MTV Video Music Awards 2012

 Psy Shows Kevin Hart How to Steal a Show


Thursday, September 6, 2012

CURRENT OBSSESSION (BLAZERS)






REDDS MISS ILALA KUZOA MIL.1.5


Redd’s Miss Ilala 2012 atakayepatikana kesho, anatarajiwa kuzoa kitita cha shilingi millioni 1.5 sanjari na kupata tiketi ya moja kwa moja ya kushiriki shindano la Taifa la Redd’s Miss Tanzania, linalotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

 
Mrembo huyo atakayekuwa mrithi wa Salha Israel, mshindi wake wa pili atajinyakulia kitita cha Sh.1.2 huku mshindi wa tatu akiibuka na Sh. 700,000. Zawadi hizo za pesa taslimu pia zitakwenda kwa washindi wan ne na tano ambao kwa pamoja watapata Sh. 400,000 kila mmoja ambapo warembo wengine tisa watakaosalia kila mmoja atapata kifuta jasho cha Sh.200,000.

 
Redd’s Miss Ilala ambayo itapambwa na wasanii nguli wa miondoko ya bongofleva nchini sanjari na B-Band watakaoshirikiana na Machozi Band, Chegge Chigunda, Banana Zahir Ally Zorro, Ommy Dimpoz na Lady Jaydee watakuwa jukwaani kuhakikisha wanakidhi kiu ya mashabiki watakaofika kesho Agosti 7, kwenye ukumbi wa nje wa Nyumbani Lounge.

 
Wasanii hao ambao watatumia bendi katika kuonesha umahiri wao, wamejumuika kwenye shindano hilo ili kukidhi kile mashabiki wa Miss Ilala wanachotarajia. Mbali ya wasanii hao, msanii wa luninga, Steve Nyerere ndiye atakayeliongoza kama MC.

 
Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye shindano hilo ambalo kwa mara ya kwanza katika historia ya urembo nchini, mashabiki wa tasnia hiyo walio nje ya Tanzania watalifuatilia live kupitia mtandao wa Uhuru One, ambao kiutalaam watahikisha wana stream live shindano hilo linalotarajiwa kuwa la aina yake.

 
Mbali ya mashabiki kupata faida hiyo ya kuoneshwa moja kwa moja kupitia mtandao, lakini faida kubwa kamati ya Miss Ilala imezingatia mchango wa wadhamini matangazo yao kuonekana nje ya mipaka ya jiji la Dar es Salaam na ughaibuni kwa ujumla.

 
Vimwana 14 wanaotarajiwa kupanda jukwaani kuwania umalkia wa Kanda ya Manispaa ya Ilala, Redds Miss Ilala 2012, kati yao 12 wiki iliyopita walishindana kwenye kategoria ya kipaji ambapo watano kati yao walitinga hatua ya fainali, ambayo itamaliziwa siku ya shindano lenyewe Ijumaa.

 
Warembo hao, wamekuwa wakijifua kwa takriban wiki nne sasa chini ya wakufunzi, Slyvia Mashuda ambaye ni Miss Tanzania namba mbili mwaka 2008 na Miss Ilala wa mwaka huo, na Neema Mbuya na Dickson Daudi wa THT katika shoo.

 
Miss Ilala, yenye rekodi ya kutoa warembo wanne waliotwaa taji la Miss Tanzania kuanzia mwaka 1999, (Hoyce Temu), 2000 (Jacquline Ntuyabaliwe aka K-Lyne), 2002 (Angela Damas Mutalimwa) na Salha Israel anayeshikilia taji hilo kwa sasa, imepania kuendeleza rekodi yake nzuri mwaka huu.

 
Miss Ilala inahusisha warembo kutoka vitongoji vya Dar City Center, Tabata na Ukonga na inadhaminiwa na City Sports Lounge, Redd's Premmium Cold, Uhuru One, Dodoma Wine, Nyumbani Lounge, gazeti la Jambo Leo, 100.5 Times FM, Redio ya watu 88.4 Cloud's FM.

Mbali ya walioingia tano bora katika vipaji, warembo wengine wanaoshiriki shindano hilo ni pamoja na Mary Chizi, Matilda Martin, Magdalena Munisi, Suzan Deodatus, Whitness Michael, Stella Moris na Elizaberth Pertty. Wengine ni Wilmina Mvungi, Zawadi Mwambe, Rehema Said, Diana Simon, Amina Sangwe, Noela Michael na Phillios Lemi.

 

Mbali ya Redd's Premmiun Cold, wadhamini wengine katika mashindano hayo ni pamoja na Uhuru One, Dodoma Wine, City Sports Lounge, gazeti la Jambo Leo, Nyumbani Lounge, 100.5 Times FM, Redio ya watu 88.4 Cloud's FM na Amaya Salon.
Mratibu wa Miss Ilala, Juma Mabakila(katikati) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo katika Club ya City Sports Lounge kuhusu shindano hilo linalofanyika kesho Ijumaa katika ukumbi wa nje wa Nyumbani Lounge. Kushoto ni Meneja wa kinywaji cha Redd's, Victoria Kimaro na Mc wa shindano hilo, msanii Steve Nyerere
 

COPA TANZANIA YAWA YA PILI AFRIKA KUSINI


Kombaini ya Tanzania ya Copa Coca-Cola imeshika nafasi ya pili katika kambi ya kimataifa ya michuano hiyo inayoendelea jijini Pretoria, Afrika Kusini. Tanzania imemaliza mechi za kambi hiyo kwa kufikisha pointi 14.

Ilicheza mechi yake ya mwisho jana (Septemba 5 mwaka huu) dhidi ya Malawi na kutoka suluhu, matokeo yaliyoifanya ifikishe pointi 14.

 Zambia ndiyo iliyokamata nafasi ya kwanza kwa kufikisha pointi 15.

Mechi hizo zilichezwa kwa mtindo wa ligi baada ya nchi nyingine kushindwa kwenda Afrika Kusini kutokana na kuchelewa kupata viza za kuingia za kuwawezesha kuingia nchini humo.

 Mbali ya Tanzania, nchi nyingine zilizowahi kambi hiyo ni Kenya, Uganda, Nigeria, Malawi, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia na timu mchanganyiko katika kambi hiyo (CEWA). Katika mechi zake Tanzania ilitoka suluhu na Nigeria, ikafungwa 3-2 na Kenya, ikaichapa Zimbabwe 3-0, ikailaza CEWA 3-0, ikaifunga Msumbiji 2-0, ikashinda 2-0 dhidi ya Uganda na ikafungwa 1-0 na Zambia.

 Wachezaji wawili wa Tanzania wamechaguliwa kwenye kombaini ya kambi hiyo (Dream Team). Wachezaji hao ni mfungaji bora Basil Seif ambaye ana mabao sita na kipa bora Tumaini Baraka. Pia Sylvester Marsh wa Tanzania amechaguliwa kuwa kocha bora katika kambi hiyo.

Makocha watano kutoka timu ya Chelsea ya Uingereza wanaanza kutoka mafunzo leo (Septemba 6 mwaka huu) ambapo yatamalizika kesho (Septemba 7 mwaka huu) na timu zitarejea nyumbani Septemba 8 mwaka huu. k.

Robert Luke Udberg, Russel William Banyard, Oliver Staurt Woodall, Shane Jason Hughes na Dean Aaron Steninger kutoka Chelsea FC Foundation ndiyo wanaounda jopo hilo la makocha.

 
MKATABA WA UDHAMINI KUSAINIWA SEPT 11

Mkataba wa udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ambayo itadhaminiwa tena Vodacom utasainiwa Jumanne (Septemba 11 mwaka huu) kwenye ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.

Taarifa rasmi juu ya muda wa kusaini na pande zitakazoshuhudia hafla hiyo itatolewa hivi karibuni.

Michelle Obama's first lady fashion

 First Lady Michelle Obama acknowledges the crowd, dressed in Tracy Reese, after delivering a speech at the Time Warner Cable Arena in Charlotte, North Carolina, on September 4, 2012 on the first day of the Democratic National Convention (DNC). (STAN HONDA / AFP/Getty Images) / SF
The first lady's manicured nails took center stage during her DNC speech with bloggers attempting to guess the exact color of the grey-blue polish. (AFP/Getty Images)/ SF

Wednesday, September 5, 2012

JAYDEE, DIMPOZ, BANANA, CHEGGE KUIPAMBA REDDS MISS ILALA

WASANII nguli wa miondoko ya bongofleva sanjari na Machozi Band, kesho watalipamba shindano la kumsaka mrithi wa Salha Israel katika shindano la Miss Ilala litakalofanyika kwenye ukumbi wa nje wa Nyumbani Lounge uliopo maeneo ya Namanga, Dar es Salaam.

 
Wasanii hao ambao watatumia bendi katika kuonesha umahiri wao, wamejumuika kwenye shindano hilo ili kukidhi kile mashabiki wa Miss Ilala wanachotarajia. Mbali ya wasanii hao, msanii wa luninga, Steve Nyerere ndiye atakayeliongoza kama MC ambapo Alhamis(kesho) watakuwa na mkutano na waandishi wa habari kwenye club ya City Sports Lounge kwa ajili ya kutangaza zawadi.

 Vimwana 14 wanaotarajiwa kupanda jukwaani kuwania umalkia wa Kanda ya Manispaa ya Ilala, Redds Miss Ilala 2012, kati yao 12 wiki iliyopita walishindana kwenye kategoria ya kipaji ambapo watano kati yao walitinga hatua ya fainali, ambayo itamaliziwa siku ya shindano lenyewe Ijumaa.

 Katika kinyanganyiro hicho mrembo Mary Chizi alikuwa kivutio zaidi kwa jinsi alivyoonesha umahiri wake wa wepesi wa kujvingirisha mwili huku Mectilda Martin akizoa ukumbi mzima kwa kurap na huku akiwa ameandana kwa kucheza hata mavazi yanayotumiwa na wasanii wa miondoko hiyo.

 Magdalena Munisi hakuwa nyuma kabisa katika kumwigiza mwanamuziki nguli wa marekani, Ciara kwa umahiri wake wa kulitumia jukwaa, lakini kubwa kuliko pia kwa mrembo Amina Sangawe alibuni nguo kwa kutumia vipande viwili vya khanga ambapo aliliunganisha jukwaani kupitia pini nakumvika mmrembo mwenzie. Stella Moris kwa upande wake alionesha ukali kwa kuimba.

 Warembo hao, wamekuwa wakijifua kwa takriban wiki nne sasa chini ya wakufunzi, Slyvia Mashuda ambaye ni Miss Tanzania namba mbili mwaka 2008 na Miss Ilala wa mwaka huo, na Neema Mbuya na Dickson Daudi wa THT katika shoo.

 Miss Ilala, yenye rekodi ya kutoa warembo wanne waliotwaa taji la Miss Tanzania kuanzia mwaka 1999, (Hoyce Temu), 2000 (Jacquline Ntuyabaliwe aka K-Lyne), 2002 (Angela Damas Mutalimwa) na Salha Israel anayeshikilia taji hilo kwa sasa, imepania kuendeleza rekodi yake nzuri mwaka huu.

 Miss Ilala inahusisha warembo kutoka vitongoji vya Dar City Center, Tabata na Ukonga na inadhaminiwa na City Sports Lounge, Redd's Premmium Cold, Uhuru One, Dodoma Wine, Nyumbani Lounge, gazeti la Jambo Leo, 100.5 Times FM, Redio ya watu 88.4 Cloud's FM.

Mbali ya walioingia tano bora katika vipaji, warembo wengine wanaoshiriki shindano hilo ni pamoja na Mary Chizi, Matilda Martin, Magdalena Munisi, Suzan Deodatus, Whitness Michael, Stella Moris na Elizaberth Pertty. Wengine ni Wilmina Mvungi, Zawadi Mwambe, Rehema Said, Diana Simon, Amina Sangwe, Noela Michael na Phillios Lemi.

 Mbali ya Redd's Premmiun Cold, wadhamini wengine katika mashindano hayo ni pamoja na Uhuru One, Dodoma Wine, City Sports Lounge, gazeti la Jambo Leo, Nyumbani Lounge, 100.5 Times FM, Redio ya watu 88.4 Cloud's FM na Amaya Salon.

REDD'S MISS TEMEKE 2012 WAANZA KUJINOA

VIMWANA 15 wa Redd's Miss Temeke, juzi wameanza rasmi kambi yao katika Club ya TCC Chang'ombe tayari wa kinyang'anyiro cha kanda hiyo, kumrithi mrembo Husna Twalib anayeshikilia taji hilo.
Warembo hao ambao wameanza programu ya shoo kwa wiki hii, chini ya ukufunzi wa Dickson Daud kutoka kikundi cha THT, wanatoka katika vitongoji vya Kigamboni, Kurasini na Chang'ombe ambapo kila sehemu wametoka warembo watano ambapo washindi watatu wa kwanza watapata fursa ya moja kwa moja kushiriki Redds Miss Tanzania 2012.
Warembo hao ni Agness Goodluck, Angela Gasper, Flaviana Maeda,Edna Sylvester, Catherine Masumbigana, Khadija Kombo, Neema Doreen, Flora Kazungu, Lilian Joseph, Elizabeth Peter, Elizabeth Boniphace, Jesca Haule, Zulfa Bundala, Mariam Ntakisivya na Esther Albert.
Temeke imewahi kutwaa taji la Miss Tanzania mara tatu, kupitia warembo Happiness Sosthenes Magesse aka Millen mwaka 2001, Sylvia Remmy Baham mwaka 2003 na Genevieve Mpangala. Lakini pia imetoa warembo waliowahi kushika nafasi ya pili na tano bora katika Miss Tanzania kama Jokate Mwegelo, Irene Uwoya, Irene Kiwia, Queen David, Cecylia Assey, Sabrina Slim, Miriam Odemba, Ediltruda Kalikawe na Asela Magaka.
Mbali ya Redd's, Miss Temeke 2012 pia imedhaminiwa na Dodoma Wine, gazeti la Jambo Leo, Push Mobile, City Sports Lounge, 100.5 Times FM, Kitwe General Traders na 88.4 Times FM. Warembo wanaendelea na mazoezi na leo, Agosti 5 wanatarajia kutembelewa na Miss Tanzania 2010, Genevieve Mpangala ambaye pia ni Miss Temeke wa mwaka huo.
 Mkufunzi wa warembo katika shoo ya Redd's Miss Temeke, Dickson Daud akiwanoa warembo hao katika Club ya TCC Chang'ombe jana, tayari kwa shindano lao litakalofanyika Septemba 21 mwaka huu.

Warembo wa Redd's Miss Temeke, wakiwa mazoezini jana katika Club ya TCC Chang'ombe , tayari kwa shindano lao litakalofanyika Septemba 21 mwaka huu.

MAZISHI YA DAUDI MWANGOSI

 Waandishi wa Habari wakiwa wamebeba Mwili wa Marehemu kuelekea Makabirini
 
Wakiwa wanafanya ibada ya Mwisho kabla ya kuanza maziko

 Hapa wakiwa wanashusha mwili wa marehemu katika Nyumba yake ya milele
 Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi ukiwa tayari katika kaburi
 
Watoto wa Marehemu wakiwawanaweka mashada ya maua.
 
Mke wa Daudi Mwangosi akiwa analia kwa uchungu katika Kaburi la Marehemu Mumewe.
 
 Dr Slaa akiweka Shada la maua
 
 Mh. Mark Mwandosya akiweka taji la maua pamoja na mke wake

Wananchi wakiwa wanarejea baada ya mazishi 

Amber Rose Pregnant

 
Amber Rose is pregnant with her first child, it has been reported.

The model and her rapper fiancé Wiz Khalifa did not plan the alleged pregnancy but are reportedly delighted to have a little one on the way.

It has also emerged that the engaged couple may tie the knot sooner than they originally intended to.A source told Radar Online: ‘Amber and Wiz unexpectedly got pregnant, but they're really happy to be starting a family together.’

And a baby on the way means the 28-year-old will be making some serious alterations to her lifestyle, including quitting smoking and accepting that her figure is going to change.

The insider claimed: ‘Amber's already had to make some big lifestyle changes, like not smoking cigarettes anymore.‘As a model she's used to having a thin waist, so this is going to be an adjustment for her.’

The happy couple were planning on marrying in the winter but MediaTakeout reports that they are now hoping to bump the big day up to October.

The website claims that Amber is expected to give birth to the baby in January and doesn’t want to have the wedding too close to her due date.
it will be the first child for both of the stars.

Wiz, whose real name Cameron Jibril Thomaz, announced the pair were set to wed in March when he posted on Twitter: ‘She Said Yes!!!’

Amber then posted a snap of her stunning oval-shaped diamond ring to her own page and said she was the ‘happiest woman in the world.’

A spokesperson for Amber Rose was unavailable for comment when contacted by Mail Online.

Tuesday, September 4, 2012

MARTIN KADINDA NEW YORK SHOW

Millen Magese And Uti in Martin Designs
 America Models In Martin Kadinda Vibunduki Shorts
 Millen Magese
Hair and Make up Artists Team

Viongozi wa nchi ambazo ni Wajumbe wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama (Troika) ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wakusanyika Dar es salaam kwa mkutano

  Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama (Troika) ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) akimpokea Rais Armando Guebuza wa Msumbiji baada ya kuwasili leo Septemba 3, 2012 katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam, tayari kwa mkutano wa Troika ya SADC unaotarajiwa kufanyika kesho Septemba 4, 2012 katika hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency na kuhudhuriwa na viongozi wa nchi wajumbe wa Asasi hiyo ambao ni Msumbiji ambao ni Mwenyekiti wa sasa wa SADC, Afrika Kusini aliyekuwa Mwenyekiti wa Asasi hiyo kabla ya Tanzania, Namibia ambao ni Makamu Mwenyekiti wa Asasi hiyo ya Troika, pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambao ni wageni waalikwa



Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama (Troika) ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) akimuonesha Rais Armando Guebuza wa Msumbiji mandhari ya Bandari ya Dar es salaam kutoka katika hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, baada ya kuwasili leo Septemba 3, 2012 tayari kwa mkutano wa Troika ya SADC unaotarajiwa kufanyika kesho Septemba 4, 2012 hotelini hapo na kuhudhuriwa na viongozi wa nchi wajumbe wa Asasi hiyo ambao ni Msumbiji ambao ni Mwenyekiti wa sasa wa SADC, Afrika Kusini aliyekuwa Mwenyekiti wa Asasi hiyo kabla ya Tanzania, Namibia ambao ni Makamu Mwenyekiti wa Asasi hiyo ya Troika, pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambao ni wageni waalikwa.
 

Monday, September 3, 2012

MADIWANI KG'MBONI WAWAPA TAFU WAREMBO WAO MISS TEMEKE

 Diwani wa Kata ya Kibada, Juma Nkumbi (wa tatu kulia), akimkabidhi Sh.milioni 1 Mratibu wa Reds Miss Kigamboni 2012, Somoe Ng'itu ikiwa mchango wa madiwani wa Kigamboni kwa warembo wa kata hizo kwa ajili ya maandalizi ya ushiriki wao kwenye mashindano ya Redd's Miss Temeke 2012 ambao jana walianza mazoezi kwenye club ya TCC Chang'ombe. Wa tatu kushoto ni Diwani wa Kata ya Vijibweni Suleiman Mathew, mwingine aliyechangia warembo hao ni diwani wa Kigamboni Dotto Msawe.
Warembo wa Reds Miss Kigamboni wanaoiwakilisha kitongoji hicho kwenye Miss Temeke kutoka kushoto ni Khadija Kombo, Elizabeth Biniface, Agnes Goodluck, Esther Albert na Eda Sylvester.