Friday, October 5, 2012

CASUAL FRIDAY

 
 
 
 
 
 




TIMU ZAGAWANA ELFU 6


MECHI ya ligi kuu soka Tanzania Bara kati ya African Lyon ya Dar es Salaam na Toto Africans ya Mwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex jana,ilivunja rekodi ya mapato kiduchu baada ya kila timu kugawana sh. 6,864.3.

 

Mechi hiyo ilishuhudiwa na washabiki tisa kwa kiingilio cha sh. 3,000 na kuingiza jumla ya mapato ya Sh. 27,000( Ishirini na saba elfu). Mgawo wa mechi hiyo ulikuwa VAT sh. 4,118.6 wakati Uwanja sh. 2,288.1, gharama za mchezo sh. 2,288.1, Kamati ya Ligi sh. 2,288.1, FDF sh. 1,372.8 na Chama cha soka Dar es Salaam (DRFA) kilipata sh. 915.2.

 

 

YANGA, SIMBA WAINGIZA MIL 390/-

 

KATIKA pambano la watani wa jadi Yanga na Simba la Ligi Kuu ya Vodacom lililochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kumalizika kwa sare ya bao 1-1 limeingiza sh. 390,568,000.

 

Watazamaji 50,455 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo iliyochezwa usiku kwa viingilio vya sh. 5,000, sh. 7,000, sh. 10,000, sh. 15,000, sh. 20,000 na sh. 30,000 huku kila klabu ikipata mgawo wa sh. 93,345,549.15 wakati Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa ni sh. 59,578,169.49.

 

Mgawo mwingine wa mapato hayo ni posho ya msimamizi wa kituo sh. 240,000, kamishna wa mechi sh. 250,000, waamuzi sh. 591,000, mwamuzi wa akiba (reserve referee) sh. 70,000, usafi na ulinzi wa uwanja sh. 2,350,000 na Wachina (stadium technical support) sh. 2,000,000.

 

Gharama nyingine ni Umeme sh. 750,000, maandalizi ya uwanja (pitch preparation) sh. 400,000, ulinzi wa mechi sh. 5,860,000 wakati tiketi ni sh. 7,327,000. Gharama za mchezo sh. 31,115,183.05, uwanja sh. 31,115,183.05, Kamati ya Ligi sh. 31,115,183.05, Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu (FDF) sh. 18,669,109.83 na Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) sh. 12,446,073.22.

 

Warembo Redds Miss Tz walipokuta​na na wanahabari jana




Thursday, October 4, 2012

Linah-Oliver Twist Remix.{Official Video}


BIRTHDAY YA DIAMOND ILIVYOKUWA D`MAGE HOTEL, JUZI


 Wema akikaribisha wageni
Diamond akifurahia keki na madansa wake ndani ya maji
 Wakikata keki pamoja
Wema akimlisha Diamond keki
Wema na dada yake Diamond 
Wema & Diamond hisia ama
Pili Pictures: This is Diamond


Wednesday, October 3, 2012

TIPS FOR GOOD MAKEUP


  • Don't copy some other person's makeup, switch it up! be yourself ! Do what you want! But if you like it take parts !!!!!
  • Know your style and work it! Show off your inner beauty with your eye makeup!
  • Don't apply harsh colors to cheeks especially if you have larger pores, this will help with the invisibility of your pores. If you don't have visible pores still use this tip because it will look fake and you will get the stripe that is mentioned a few tips down.



  • When you apply eyeshadow, it's common for specks of color to fall onto your face. This is a pain to get rid of after you've already perfected your foundation. If this happens frequently, apply your eyeshadow first, clean up the mess and then apply foundation. Alternatively, if there are only a few specks, you can just very carefully pick them up off your skin with tweezers.
  • Eyeshadow sometimes falls onto your eyelashes and on oily skin, and it can smudge underneath your eye. To avoid this, use a make-up wipe or a cotton bud with a little make-up remover on it, and gently sweep it over your eyelashes from root to tip to pick up any leftover eyeshadow.



  •  Focus on one part, or two at most, of your face. Don't use a bold hue of lipstick with stand-out eyeliner and a bright shade of blush. Instead, zero in on the eyes and lips, or blush/skin. Keep it simple; don't over-do your makeup applications.
    Quality is always better than quantity. If you have $50 for your entire face, don't get 10 cheap things, get 4 good-quality things ($25 foundation, $10 mascara, $10 for blush, and then a $5 lip-gloss).

     Make sure that your lips do not look chapped or cracked before you put on lipstick. If your lips are chapped, lightly brush off the dead skin cells with a toothbrush or towel. Next, apply chapstick with an SPF of 15 so your lips will look great all day. This way you have a nice, smooth, clean canvas to work with

    When choosing eye makeup, take the occasion into consideration. For everyday makeup, just use a pencil. Black or dark brown will do. Liquid eyeliners are best for special occasions. Your eyeliner should be more natural looking for day makeup, and can be a bit heavier for evening looks. If you want a more dramatic look, dot the eyeliner under the lash line, then use the angle brush to blend. Your mascara will bring the eyes out more.
     
  • Take as much time as you need. It allows you to figure out what looks best on your face. If you try to rush, you might do some damage to your skin by dragging.
  • If your skin doesn't look smooth, put foundation on before the other makeup, making it look smooth

  • Warembo Redds Miss Tanzania walipoting​a kambini jana


     
     Catherine Masumbigan
     Eda Sylvester
     
    Mary Chizi

    Monday, October 1, 2012

    TIKETI YANGA, SIMBA KUANZA KUUZWA KESHO


    Tiketi kwa ajili ya mechi ya Yanga na Simba itakayochezwa keshokutwa (Oktoba 3 mwaka huu) zitaanza kuuzwa kesho (Oktoba 2 mwaka huu) kwenye vituo mbalimbali jijini Dar es Salaam.

     Mechi hiyo namba 80 ya Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara itachezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 1 kamili usiku.

     Vituo vitakavyotumia kuuza tiketi hizo kuanzia saa 4 asubuhi ni Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa, Uwanja wa Taifa, Kituo cha Mafuta OilCom Ubungo, Mgahawa wa Steers ulioko Mtaa wa Ohio/Samora, Dar Live Mbagala na Kituo cha Mafuta Buguruni.

     Kiingilio cha chini kwenye mechi hiyo ni sh. 5,000 kwa viti vya rangi ya kijani ambavyo ni 19,648 kwenye uwanja huo wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 60,000. Watazamaji watakaoketi kwenye viti vya rangi ya bluu ambavyo ni 17,045 watalipa sh. 7,000 kwa tiketi moja.

     Sh. 10,000 ni kwa viti vya rangi ya chungwa ambavyo viko 11,897 wakati VIP C inayochukua watazamaji 4,060 itakuwa sh. 15,000. Kwa upande wa VIP B tiketi ni sh. 20,000 na VIP A yenye watazamaji 748 tu kiingilio kitakuwa sh. 30,000.

     Wakati huo huo, mwamuzi Mathew Akrama kutoka Mwanza ndiye atakayechezesha mechi hiyo. Waamuzi wasaidizi ni Samuel Mpenzu kutoka Arusha na Ephrony Ndissa wa Dar es Salaam wakati mwamuzi wa mezani ni Oden Mbaga pia wa Dar es Salaam.

     

    Sunday, September 30, 2012

    Kourtney Kardashian – Speed Boating with Scott in Miami



     
     

    SWAHILI FASHION WEEK TO SHOWCASE IN NAIROBI .

    Swahili Fashion Week, East and Central Africa largest fashion event, now in its fifth year is advancing its showcase from Tanzania to Neighbor country Kenya by having a one night showcase in Nairobi on 6th October 2012

    Swahili Fashion Week 2012 will collectively bring together 15 fashion and accessories established designers from Swahili speaking countries and beyond to showcase their creativity and forecast future fashion trends for the region.

    “This year we have grown tremendously as we cross the border to mark our initiatives on making Swahili Fashion Week largest fashion event in East and central Africa where as our target is to showcase in all Swahili speaking countries and Nairobi is our first point to start with ” stated the founder of the Fashion week Mustafa Hassanali.

    “Opening Swahili Fashion Week to a new audience, and keeping to the tradition of being the largest fashion platform this year we shall unveil collections by regions top designers giving the public a show that is different in creativity and cultural taste from the East Africa”, added Hassanali’

    ‘Audience should expect to see a blend of designers from East Africa showcasing their talent under one roof as we celebrate our fifth year after its inception in 2008, thus for the first time we have decided to cross borders and have our first showcase in Nairobi this year because our main aim is to be the most sought after fashion platform in Africa. So, Kenyans should expect a strong line up of designers whereby we will be featuring ten designers from the host country. Established designers who are renowned in the region like Moo Cow and Patricia Mbela (last year’s SFW East African Designer of the Year) together with designers Mohamed Bana, Morna Omondi, Shenu Hooda, Anna Adero, Jimmy Walji, Vaishali Morjaria, Annesophie Achera, Wangechi Muriithi , AFAD – Kenya. Designer from Tanzania showcasing are Gabriel Mollel, Diana Magesa, Lucky Creations , Hameed Abdul and last years Emerging Designers Competition Award winner Sarah Masenga”. Said Washington Benbella the Swahili Fashion Week Manager.

    Swahili Fashion week 2012 Nairobi Showcase has been sponsored by Precision Air, East Africa Television, Capital FM ,Phat Productions, Africa Magic, Capital Fm (Kenya), 361 Degrees, Strut it Afrika, Thomson Photography and Muthoni Njoba Makeup and hosted by Safaricom's Michael Joseph Centre,

    NOTE TO EDITORS
    ABOUT SWAHILI FASHION WEEK
    Swahili Fashion Week is now THE platform for fashion and accessory designers from Swahili speaking countries and the African continent to showcase their talent, market their creativity and network with clientele and the international fashion industry.

    This is all aimed at emphasizing to the region that fashion is an income generating creative industry, meanwhile promoting a "Made in Africa " concept.

    Swahili Fashion Week is a platform founded and created by celebrated Tanzanian couturier, Mustafa Hassanali in year 2008. It currently is the biggest and largest annual fashion event in the whole of East and Central Africa .

    This year will mark the Fifth edition of the Annual Swahili Fashion Week which will be held from 6-8 December 2012 in Dar es Salaam .