Friday, June 22, 2012

RAMADHANI SHAURI AONESHWA MKANDA WA UBINGWA WA IBF AFRICA


Bondia Ramadhan Shauri akiwa ameushika Mkanda wa I.B.F Africaalipooneshwa kwa waandishi wa habari Dar es salaam jana. Mkanda huo atauwania pamoja na Sande Kizito wa Uganda, Diamond Jubilee Idd Pili. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Kamisheni ya Ngumi za kulipwa Tanzania (TPBC) Madaraka Nyerere na Promota wa mpambano huo, Mkurugenzi wa Kitwe General Traders, Lucas Rutainirwa

Ramadhani Shauri akiwa na mkanda wa ubingwa wa IBF Africa

No comments:

Post a Comment