Monday, June 18, 2012

PIGO KWA WAANDISHI WA HABARI

Marehem Willy Edward Ogunde
Mhariri Mkuu wa gazeti la Jambo leo na Jarida la Jambo Brand
Amefariki dunia mjini Morogoro usiku wakuamkia jumapili , alipo kwenda kuhudhuria Mkutano wa sensa ulioandaliwa na ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), mwili wa marehem umesafirishwa kuja Dar na kuhifandhiwa katika hopitali ya taifa Muhimbili, wakisubiri taratibu nyingine zikifwata.

Mwili wa marehem Willy Edward Oginde ukifikiswa katika hospitali ya taifa Muhimbili

No comments:

Post a Comment