Sunday, June 24, 2012

RAIS KIKWETE AMPOKEA RAIS WA JAMHURI YA KIARABU YA SAHRAWI MHE MOHAMED ABDELAZIZ LEO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Sahrawi baada ya kumpokea jioni hii June 24
katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment