Monday, July 9, 2012

MPAMBANO WA WEMA SEPETU VS JACQULINE WOLPER

 Kocha wa Wema Sepetu, Rashid Matumla akimvua koti bondia wake tayari kuanza mpambano na Jacquline Wolper

 Wema(kushoto) akipambana na Wolper

 Ngumi si mchezo, Wema akikimbia kuogopa kuchakazwa sura na mpinzani wake

 Refa John Chagu (katikati), akitangaza matokeo kuwa mabondia hao wametoka sare yaani ngumu drooo.

Michezo ni furaha, mabondia Wema Sepetu na Jacquline Wolper wakikumbatiana baada ya pambano hilo, lakini wakionesha alama ya Freemason, sisi hatujui wamo amaaaa?

No comments:

Post a Comment