Tuesday, June 19, 2012

MH.JOHN MNYIKA ATOA MSIMAMO WAKE JUU YA KAULI YAKE ILIOMFUKUZISHA BUNGENI LEO!!!


Nitatoa tamko la kina baadae kuhusu kilichotokea lakini kwa ufupi ubovu wa bajeti hii ni matokeo ya udhaifu wa Rais Kikwete, yeye ndiye aliyesaini Mpango wa Taifa wa miaka mitano kama Kiongozi Mkuu wa Nchi tena kwa wino mwekundu kama Amiri Jeshi Mkuu. Na yeye ndiye Mwenyekiti wa baraza la mawaziri, bajeti hii iliyoacha kuzingatia mpango wa Taifa imepita kwenye baraza alilloliongoza, pia kushindwa kutekelezwa kwa bajeti iliyopita ni matokeo pia ya udhaifu wa taasisi ya Urais.
Pia kwa mujibu wa Katiba Rais ndiye ambaye anapeleka bajeti bungeni, Waziri mwenye dhamana anapeleka tu kwa niaba. Rais amepewa mamlaka makubwa juu ya bajeti ibara ya 99 imeweka mipaka kuhusu mambo ambayo bunge lina mamlaka nayo huku ibara ya 90 inasema bunge likikataa bajeti rais ana mamlaka ya kuvunja bunge. Hivyo Rais Kikwete anapaswa kuagiza Waziri wa Fedha bajeti iondolewe irudi kwenye baraza la mawaziri ikafanyiwe marekebisho!

MH. John Mnyika akitoka Bungeni

 

BIG BROTHER: ZIMBABWE'S ROKI AND MANETA DISQUALIFIED


Another day, another fight, another disqualification. Zimbabwe is out of the Big Brother Africa StarGame after two of its contestants, Roki and Maneta, turned on each other after a disagreement.
The two Upville contestants had a disagreement that turned nasty after Roki poured water on Maneta and she in turn, poured bleach on his face.
Roki then called for help from fellow mates who quickly intervened to save the situation but he had already sustained injuries and tears rolling down his eyes.
Biggie was forced to cancel Keitta‘s diary room session and call Maneta into the diary room before deciding to send them packing for contravening the rule of violence which is punishable by expulsion.
Menata, who had been nominated for eviction, walked into the diary room saying "it's all over, it's all over" with her hands on her head.
The two housemates had been bickering all day and Big Brother had warned them that they needed to abide by the clearly stated house rules forbidding violence and provocation but they chose to disregard this instruction.
This is the second fight in upville in fortnight after DKB's infamous slap on Zainab and they were disqualified.
Roki and Maneta will be provided with psychological and medical treatment and counseling to assist them with conflict and anger management.

Monday, June 18, 2012

PIGO KWA WAANDISHI WA HABARI

Marehem Willy Edward Ogunde
Mhariri Mkuu wa gazeti la Jambo leo na Jarida la Jambo Brand
Amefariki dunia mjini Morogoro usiku wakuamkia jumapili , alipo kwenda kuhudhuria Mkutano wa sensa ulioandaliwa na ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), mwili wa marehem umesafirishwa kuja Dar na kuhifandhiwa katika hopitali ya taifa Muhimbili, wakisubiri taratibu nyingine zikifwata.

Mwili wa marehem Willy Edward Oginde ukifikiswa katika hospitali ya taifa Muhimbili

Sunday, June 17, 2012

DID KANYE WEST REALLY TWEET A NUDE PHOTO OF KIM OR A LOOK ALIKE?

 
Unlike Kim Kardashian who Instagrams matching sneakers and performance photos of her rapper boo Kanye West, ‘Ye decided to hop on Twitter and post a naked photo of a female who was implied to be the reality starlet. Though the tweet was later deleted, the famed K-dash sister became a trending topic

Kanye West says he didn’t post -or delete- any nude photo on his Twitter account, be it of girlfriend Kim Kardashian or porn star Amia Miley. In fact, he hadn’t been using Twitter during the alleged time frame when he supposedly posted the sexy pic

The picture posted on twitter could  it be Kim Or Porn star Amia Miley?.........

AY & MWANA FA NDANI YA BIGBROTHER HOUSE

AY ndani ya Bigbrother House Jumapili hii 17th June,Mwaka huu ni wa wanamziki na ma Dj kutoka Tanzania kuonyesha vipaji vyao ndani ya Bigbrother House.


AY & MWANA FA


Wazee wakazi

REDDS MISS TANZANIA 2012 LISA JENSEN

 Miss Tanzania Lisa Jensen (katikati) baada kuvishwa taji


 Tano bora

Washirki wote walioshiriki shindano hilo


MBIO ZA MOUNT KILIMANJATO MARATHON


picha ya mcheza sinema atakayekimbia mbio za mount Kilimanjaro marathon kutoka Marekani