Friday, August 24, 2012

Yanga walipotinga Ikulu Rwanda

 Rais Paul Kagame wa Rwanda(kulia), akisalimiana na kusikiliza neno la mdhamini wa Yanga, Mama Fatuma Karume wakati rais huyo alipowakiribisha Ikulu, jijini Kigali jana.
 Rais Kagame wa Rwanda akisalimiana na kocha wa Yanga, Tom Saintfiet wakati rais huyo alipowakiribisha Ikulu, jijini Kigali jana.
 Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Mehmboob Manji(kulia), akimweleza jambo Rais Kagame katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Kigali, juzi.
 Rais Kagame wa Rwanda(katikati) akishika kombe la Afrika Mashariki na Kati(Kagame Cup) sanjari na  kocha wa Yanga, Tom Saintfiet na nahodha Nadir Haroub Carnavaro wakati rais huyo alipowakiribisha Ikulu, jijini Kigali jana.
 Mdhamini wa Yanga, Mama Fatuma Karume(katikati) akimkabidhi jezi ya timu hiyo, Rais Kagame Ikulu Kigali, juzi. Kushoto ni Seif Ahmed 'Magari'wakati rais huyo alipowakiribisha Ikulu, jana.
Rais Kagame(kulia), akiteta jambo na Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji(Picha zote na Saleh Ally wa Champions.

No comments:

Post a Comment