Monday, July 23, 2012

WAZIRI WA MIUNDO MBINU ZANZIBAR AJIUZURU


Waziri wa Miundombinu Zanzibar, Mh.Hamad Masoud Hamad (CUF)amejiuzuru kufuatia ajali ya boti ya Skagit.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Mohamed Shein ameridhia kujiuzuru kwa waziri huyo na amemteua Mh. Rashid Seif Suleiman (CUF)kushika wadhifa huo.
Makamu wa Pili wa Rais ,Balozi Seif Iddi amesema uamuzi wa kujiuzuru wa Mh. Hamad ni uamuzi wake binafsi.

No comments:

Post a Comment