Tuesday, July 31, 2012

RAIS KIKWETE AFUTURISHA MKOANI LINDI

Waalikwa wakipakua futari
 Kadhi wa Mkoa wa Lindi ambaye pia ni Shekhe Mkuu wa Mkoa Mohamed Saidi Mushangani akitoa neno la shukurani baada ya futari

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwashukuru waalikwa kwa kuhudhuria katika hafla ya futari aliyoandaa
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wachungaji waliokuwa miongoni mwa wageni waalikwa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na wageni wake baada ya futari 

No comments:

Post a Comment