Sunday, September 23, 2012

MISS TEMEKE 2012

 Miss Tameke 2012, Edda Sylvester (katikati) akiwa na mshindi wa pili Flavian Maeda (kushoto) pamoja na Catherine Masumbigana aliyeshika nafasi ya tau katika kilele cha mashindano hayo, kwenye Ukumbi wa PTA Sabasaba, Dar es Salaam
Mwandaaji wa mashindano ya Redd's Miss Temeke 2012, Benny Kisaka wa Kampuni ya BMP Promotions, akitangaza washindi watatu wa mashindano hayo.



 Tano Bora











 Bendi ya Mashujaa ikitumbuiza wakati wa mashindano hayo

No comments:

Post a Comment