Tuesday, August 21, 2012

MY FAVORITE FASHION BLOGS OF THIS MONTH

Jadore
its all about fashion and she do it well i really enjoy her fashion spirit


she is good that's all i can say.

Monday, August 20, 2012

I Was Here (United Nations World Humanitarian Day Perform...


Musical powerhouse Beoncey is using her voice for a powerful message.
The 30-year-old Single Ladies songstress has debuted a new music video to benefit Sunday’s World Humanitarian Day.
Filmed at the UN General Assembly Hall in New York, the emotional performance features Bey belting out her hit, “I Was Here,” from her album 4 to raise awareness for global humanitarian work.
“We all see the headlines and we think what can I really do to help? World Humanitarian Day is an opportunity for all of us to work together to make a difference,” Beyonce says of her champaign with the United Nations. “This is our time to leave our mark on the world and show that we were here and we care.”

Tanzania chali Miss World

MWAKILISHI wa Tanzania katika mashindano ya urembo ya Dunia 2012, Lisa Jensen jana aliungana na warembo wengine 18 waliomtangulia kutoka Tanzania, kupigwa kumbo katika fainali hizo, baada ya mrembo wa China, Yu Wenxia  kutwaa taji hilo katika shindano lililofanyika Ordos Stadium Arena kaskazini mashariki ya jiji la kibiashara la Ordos.
Zilikuwa kelele zilizopitiliza baada ya mashabiki kushuhudia mrembo kutoka katika ardhi yao akitwaa taji hilo la 62, lililokuwa likishikiliwa na mrembo wa  Venezuela, Ivian Sarcosa ambaye jana alimvika taji malkia huyo mpya wa dunia katika mashindano yaliyoshirikisha nchi 116 kwa mara ya kwanza.
"Nikiwa mdogo nilisaidiwa na watu wengi sana, jambo ambalo ni fursa kwangu nami kufanya hivyo baada ya kutwaa taji hilo, ni bahati kubwa maishani mwangu", alisema Yu mbele ya waandishi wa habari akihojiwa kuhusu ushindi wake.
Sudan Kusini iliyoshiriki mashindano hayo kwa mara ya kwanza imefanya maajabu kwa kuingia hatua ya fainali ya mwisho kabisa ya saba bora. Katika 15 Kenya nayo ilitinga hatua hiyo ikiwa na  Sudani Kusini. Nchi za India,Mexico, Australia, Jamaica,China ,Wales, Uingereza, Brazil,Uhispania,Phillipines, Marekani, Uholanzi na Indonesia, nazo zilifika hatua hiyo.
Mbali ya China, ushindi wa pili ulikwenda kwa mrembo wales, Sophie Moulds wakati nafasi ya tatu ilikwenda kwa mrembo wa Australia, Jessica Kahawaty.  Taji hilo kwa mara ya kwanza mwaka 1951 lilitwaliwa na  Kiki Hakansson wa Sweden.Venezuela imewahi kutoa mrembo wa dunia mara sita wakati India na Uingereza zinafuatiwa kwa kutwaa mara tano.
Warembo wengine waliopata kushiriki miss World na miaka yao kwenye mabano ni pamoja na Aina Maeda(1994), Emilly Adolf(1995), Shose Sinare(1996), Saida Kessy(1997), Basila Mwanukuzi(1998), Hoyce Temu(1999), Jacquline Ntuyabaliwe 'K-Lyne'(2000),  Happiness Sosthnes Magese (2001), Angela Damas Mutalimwa(2002) na Sylvia Remmy Bahame(2003).
Wengine ni Faraja Kotta(2004), Nancy Sumari(2005), Wema Sepetu(2006), Richa Adhia(2007), Nasreem Karim(2008), Miriam Gerald(2009), Genevieve Emmanuel Mpangala(2010) na Salha Israel anayelishikilia taji hilo ambalo anatarajiwa kuanza kulivua Oktoba.
mwisho

Friday, August 17, 2012

Robin van Persie: It is an honour to sign for Manchester United

 PEN TO PAPER ... Robin van Persie completes his move to Manchester United
ROBIN VAN PERSIE completed his move to Manchester United roared: It's an honour.
United confirmed they had agreed a fee with Arsenal on Wednesday evening.
And after a medical last night, the final elements of the £22million transfer have been wrapped up.
The deal has been done in time for Van Persie to go straight into Alex Ferguson’s squad for Monday’s trip to Everton.
United announced in a statement: “Robin van Persie has completed his medical, agreed personal terms and signed for Manchester United on a four-year contract until June 2016.” The Dutchman said: “I am looking forward to following in the footsteps of so many great strikers, bringing my experience and playing my part to help the team compete for the biggest trophies in the game.
"I can’t wait to get started.”
Manager Ferguson said: “Robin is a world-class striker with a proven record in England and in European football.  “His talents need no introduction to our fans — he has scored a number of goals against us in some classic battles with his former club.  “His movement, finishing and all-round ability are outstanding.”

DON'T BLAME RVP FOR JOINING UNITED

* Top players want to play with top players

Robin Van Persie is set to leave Arsenal for Manchester United, yet the move is not about money.
The Londoners’ club skipper is heading to Old Trafford because he must believe playing for United will give him a better chance of winning things. And this will hurt Arsenal fans like hell.

Van Persie joined the Gunners in May 2004, with my former club having just completed an entire season without losing a Premier League game.

This was an absolutely superb football team. It was one that was capable of dominating for many seasons.
 But, year by year, the top players left. Now the days of Jens Lehmann, Ashley Cole, Sol Campbell, Robert Pires, Thierry Henry and Patrick Vieira seem a million years ago.

And since arriving from Feyenoord, Van Persie has managed just one trophy at Arsenal the FA Cup. That was seven years ago. It is a massive shame that the Dutchman is becoming the latest star to leave Arsenal, though I am not surprised. If Arsenal supporters are being honest with themselves, they will not be too shocked either. It is the sign of the times.

The three teams who always look capable of winning things these days are United, Manchester City and Chelsea. United won nothing last season and some people claim Alex Ferguson’s side was one of the poorer teams from his time in charge.

Yet still they only lost the league title on goal difference in the last couple of minutes of the campaign.
 They will still take some beating in 2012-13 and it is extremely rare for United ever to go more than one season without managing to win at least one trophy.

I hate to see top performers leaving the Emirates and it will now become increasingly difficult for the club to keep their other star names. Remember, Theo Walcott is approaching the last year of his contract and let us hope he signs another in a few weeks.

United, City and Juventus have all been interested in Van Persie but I think he has made the right choice.
City are in an exciting period and could be winning things for years to come.

Yet Van Persie is now 29 and the chance of playing for arguably the biggest club in the world is not an opportunity he wants to waste. Top players want to play with top players — and he will obviously fancy the chance of causing some damage up front with England ace Wayne Rooney.

Ferguson always assembles a squad with a winning mentality and Van Persie, understandably, wants to be a part of that. Last season, he carried Arsenal. You have to wonder where they would have finished without his goals tally of 37. I have a lot of sympathy for manager Arsene Wenger but, ultimately, he makes the decisions in terms of playing and offering of contracts.

Some people are saying Van Persie should have shown more loyalty, after all the injuries he has suffered. But as I have said before, the only loyalty in the game currently comes from the fans and this is something that just has to be accepted.

With the exception of the likes of Chelsea’s John Terry and Ryan Giggs at Manchester United, players no longer remain at one or even two clubs during their career. Arsenal now find themselves in a tough situation.

They have signed players such as Germany striker Lukas Podolski from Cologne, France forward Olivier Giroud from Montpellier and Spain winger Santi Cazorla from Malaga, who, potentially, could all be superb in the Premier League.

But note I am using the word potentially. Wenger needs these players to hit the ground running, though it is possibly too much to expect all three new boys to do this. Fingers crossed, I hope they all succeed in making an immediate impact. Many Gunners supporters will have looked at the fixture list already to find out the dates of the United games.

It is Old Trafford on November 3, which is my birthday, while United will visit the Emirates on April 27.
I do not imagine Van Persie will get a good reception and I am sure that he will not be expecting one.
Unfortunately, Arsenal must once again move on following the departure of a major name.
You can only wonder what they could have achieved if everyone had stayed.
The Sun; Last Updated: 17th August 2012

Thursday, August 16, 2012

FASHION QUOTES


FINALI MISS WORLD 2012 KESHO

TANZANIA kesho inatupa karata yake nyingine katika mashindano ya kimataifa, kwa mwakilishi wake, Lisa Jensen kupanda jukwaani Ordos Stadium Arena kuwania taji la urembo wa dunia, akichuana na vimwana kutoka nchi 116.                                                                        Mashindano hayo ya 61 tangu kuanzishwa kwake, yatavunja rekodi ya idadi kubwa ya washiriki tangu yaanzishwe kwake ambapo Lisa Jensen anaiwakilishi nchi kwa mara ya 19 tangu kufanyika na kupeleka mwakilishi wake mwaka 1994.Miss World iliyoanzishwa mwaka 1951 kwa kushirikisha warembo 26 jukwaani jijini London Uingereza, chini ya uratibu wa marehemu Eric Morley kesho warembo 116 wanapanda jukwaani Ordos Stadium Arena, China ikiwa chini ya uratibu wa mke wa mwanzilishi huyo, Julia Morley.Kwa mujibu wa mtandao wa waandaji hao, nchi zipatazo 160 duniani, zinatarajiwa kutazama moja kwa moja mashindano hayo kupitia luninga, hiyo  ikimaanisha mamilioni ya watu duniani wanatarajia kuona mashindano hayo.
Lisa ambaye aliingia kati ya warembo 45 katika kategoria ya mitindo, mbali ya kuwa mrembo wa 19 kuiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo, lakini ana deni kubwa la mafanikio pekee ya Miss Tanzania 2005, Nancy Sumary aliyeingia sita bora ya mashindano hayo na kutwaa taji la Miss World Afrika.
Rekodi hiyo haijafikiwa na mrembo yeyote tangu Tanzania ianze kupeleka mwakilishi wakemwaka 1994 kupitia Aina Maeda. Lisa ambaye alipata nafasi hiyo katika shindano dogo la second chance lililoshirikisha warembo waliopata kushiriki Miss Tanzania katika miaka tofauti kuanzia 2006 alioshiriki yeye, mwaka ambao Wema Sepetu alishinda, nafasi ya pili kutwaliwa na Jokate Mwegelo na Lisa wa tatu.
Kufanyika shindano hilo dogo, kumebadilisha ratiba ya Miss Tanzania mwaka huu, ikimaanisha mshindi wa mwaka huu katika shindano litakalofanyika katikati ya mwezi Oktoba, ataandaliwa kwa mwaka mzima kwa ajili ya shindano la dunia mwakani 2013.
Hiyo itakuwa ni nafasi kubwa kwa Tanzania kupata muda mrefu wa maandalizi, jambo ambalo limekuwa likifanyika katika nchi nyingi ambazo zimepata kufanikiwa katika mashindano hayo. Hii pia ni mara ya kwanza kwa Tanzania kupeleka Miss Tanzania ambaye hakuvikwa taji na mrembo anayemaliza muda wake kutoka na mataji hayo kutofautiana.
Warembo wengine waliopata kushiriki miss World na miaka yao kwenye mabano ni pamoja na Aina Maeda(1994), Emilly Adolf(1995), Shose Sinare(1996), Saida Kessy(1997), Basila Mwanukuzi(1998), Hoyce Temu(1999), Jacquline Ntuyabaliwe 'K-Lyne'(2000),  Happiness Sosthnes Magese (2001), Angela Damas Mutalimwa(2002) na Sylvia Remmy Bahame(2003).
Wengine ni Faraja Kotta(2004), Nancy Sumari(2005), Wema Sepetu(2006), Richa Adhia(2007), Nasreem Karim(2008), Miriam Gerald(2009), Genevieve Emmanuel Mpangala(2010) na Salha Israel anayelishikilia taji hilo ambalo anatarajiwa kuanza kulivua Oktoba.
mwisho